Home Music Martha Mwaipaja – Nifundishe Kunyamaza

Martha Mwaipaja – Nifundishe Kunyamaza

0

Martha Mwaipaja Nifundishe Kunyamaza Mp3 Download
Martha Mwaipaja Nifundishe Kunyamaza Mp3 Download

Check out this lovely brand new gospel music by Martha Mwaipaja Nifundishe Kunyamaza.

Tanzanian multi talented Christain Gospel female music singer, Songwriter and worship leader, Martha Mwaipaja has unleashed another amazing brand new gospel music which she titled “Nifundishe Kunyamaza”. And it’s right available here for download!.

Download And Share Your Thoughts Below!!

STREAM/DOWNLOAD MP3

Music Lyrics

Nifundishe kunyamaza
Nifundishe kunyamaza
Nisijejibu nikakukosea Mungu uu
Nifundishe kunyamaza
Nifundishe kunyamaza
Nisijejibu nikakukosea Mungu uu
We ewe Baba, wewe ni mwalimu mwema
We ewe Mungu wewe ni mwalimu mwema
Niko darasani kwako Masia
Baba naomba nifundishe kunyamaza
Niko katika kipindi hiki Bwana
naomba nifundishe kunyamaza
Natamani kunyamaza
Lakini si rahisi, nifundishe kunyamaza
Natamani kunyamaza Masia
Naomba nifundishe kunyamaza
Yapo mengi mambo yanayoweza fanya niseme
Yapo mazingira yanayoweza
Fanya nijibu nikakosea
Kwa maisha tunayoishi
Naomba nifundishe kunyamaza
Kwa ninayoyasikia kila siku
Bwana nifundishe kunyamaza
Kwa ninayoyaona kila siku
Eh Baba nifundishe kunyamaza
Mmmh mmmh wapo wanaoweza fanya
Nipambane eeh, nipambane
Yapo yanayoweza fanya
Nishindane eeh, nishindane
Bila neema ya kunyamaza
Naweza jikuta ninajibu vibaya
Bila neema ya kunyamaza
Naweza jikuta ninasema vibaya
Wee Yesu wewe
Naomba nifundishe kunyamaza
Wee Baba wewe
Naomba nifundishe kunyamaza
Kwa macho nimeona mengi
Naomba nifundishe kunyamaza
Kwa vinywa nimenenewa mengi
Naomba nifundishe kunyamaza
Kwa masikio nimesikia mengi
Bwana nifundishe kunyamaza
Oh nifundishe kunyamaza
Nifundishe kunyamaza
Nisijejibu nikakukosea Mungu uu
Nifundishe kunyamaza
Nifundishe kunyamaza
Nisijejibu nikakukosea Mungu uu
Eeh Baba nisaidie Baba
Ewe Mungu nisaidie Mungu
Ninatamana sana nijilinde
Nisije kukukosea
Ninachotaka nijilinde
Nisije kukupoteza
Watu wanaweza taka nipambane
Nikukose mwokozi
Wengi wanataka nipambane
Nikukose mwokozi
Kwa mazingira ninavyoyaona
Naweza pambana nikukosee
Kwa mwanadamu kunyamaza ni ujinga
Ninacholinda nisikukosee
Japo nitaonekana mpumbavu
Acha vyote vipite, nisikukosee
Japo yananichoma mpaka ndani ya moyo
Acha yapite, nisikukosee
Naweza pambana na wanadamu
Kumbe nikawa ninakupoteza Bwana
Naweza pambana na mwanadamu
Kumbe nikawa nakukosa Messiah
Naweza shindana na mtu
Kumbe nikawa nakukosa Messiah
Acha kwa watu niwe mjinga
Kwako niinuliwe
Acha kwa watu niwe mpumbavu sana
Kwako niwe shujaa
Acha kwa watu niwe kama mjinga
Kwako niwe mwenye hekima
Lakini sitaweza kunyamza
Bila kunifundisha
Maana kama mwanadamu inaniuma
Lakini mi naomba nifundishe
Maana kama mwanadamu inanitesa
Lakini mi naomba nifundishe kunyamaza
Bila kufundishwa nawe
Naweza nikapambana
Na katika kupambana kwangu
Nikakuta nakukosea
Nakuomba Baba, nakuomba
Nisaidie ninyamaze
Nakuomba Baba, nakuomba
Nisaidie ninyamaze
Hata wakiniona ni mjinga
Acha vyote nisikukosee
Japo wataniona ni mjinga
Kumbe ninalinda nisikukosee

Translate To English (Music Lyrics)

Teach me to be quiet
Nifundishe kunyamaza

Teach me to be quiet
Nifundishe kunyamaza

I did not answer and I offended God
Nisijejibu nikakukosea Mungu uu

Teach me to be quiet
Nifundishe kunyamaza

Teach me to be quiet
Nifundishe kunyamaza

I did not answer and I offended God
Nisijejibu nikakukosea Mungu uu

O Father, you are a good teacher
We ewe Baba, wewe ni mwalimu mwema

O God you are a good teacher
We ewe Mungu wewe ni mwalimu mwema

I am in your class Masia
Niko darasani kwako Masia

Father, please teach me to be quiet
Baba naomba nifundishe kunyamaza

I’m in this period Lord
Niko katika kipindi hiki Bwana

please teach me to be silent
naomba nifundishe kunyamaza

I wish I was silent
Natamani kunyamaza

But it is not easy, teach me to be silent
Lakini si rahisi, nifundishe kunyamaza

I long to silence the Messiah
Natamani kunyamaza Masia

Please teach me to be quiet
Naomba nifundishe kunyamaza

There are many things I can say
Yapo mengi mambo yanayoweza fanya niseme

There is a possible environment
Yapo mazingira yanayoweza

Make me answer I was wrong
Fanya nijibu nikakosea

For the life we ​​live
Kwa maisha tunayoishi

Please teach me to be quiet
Naomba nifundishe kunyamaza

For what I hear every day
Kwa ninayoyasikia kila siku

Lord teach me to be silent
Bwana nifundishe kunyamaza

For what I see every day
Kwa ninayoyaona kila siku

Eh Father teach me to be silent
Eh Baba nifundishe kunyamaza

Mmmh mmmh there are those who can do it
Mmmh mmmh wapo wanaoweza fanya

I fought eeh, I fought
Nipambane eeh, nipambane

There are things they can do
Yapo yanayoweza fanya

Compete eeh, compete
Nishindane eeh, nishindane

Without the grace of silence
Bila neema ya kunyamaza

I may find myself responding negatively
Naweza jikuta ninajibu vibaya

Without the grace of silence
Bila neema ya kunyamaza

I may find myself saying the wrong thing
Naweza jikuta ninasema vibaya

Oh Jesus you
Wee Yesu wewe

Please teach me to be quiet
Naomba nifundishe kunyamaza

Oh Father you
Wee Baba wewe

Please teach me to be quiet
Naomba nifundishe kunyamaza

With the eyes I have seen a lot
Kwa macho nimeona mengi

Please teach me to be quiet
Naomba nifundishe kunyamaza

With my mouth I have spoken much
Kwa vinywa nimenenewa mengi

Please teach me to be quiet
Naomba nifundishe kunyamaza

By the ears I have heard a lot
Kwa masikio nimesikia mengi

Lord teach me to be silent
Bwana nifundishe kunyamaza

Oh teach me to be quiet
Oh nifundishe kunyamaza

Teach me to be quiet
Nifundishe kunyamaza

I did not answer and I offended God
Nisijejibu nikakukosea Mungu uu

Teach me to be quiet
Nifundishe kunyamaza

Teach me to be quiet
Nifundishe kunyamaza

I did not answer and I offended God
Nisijejibu nikakukosea Mungu uu

Eeh Father help me Father
Eeh Baba nisaidie Baba

O God help me God
Ewe Mungu nisaidie Mungu

I really want to protect myself
Ninatamana sana nijilinde

Let me not offend you
Nisije kukukosea

What I want is to protect myself
Ninachotaka nijilinde

Lest I lose you
Nisije kukupoteza

People may want me to fight
Watu wanaweza taka nipambane

I miss you savior
Nikukose mwokozi

Many want me to fight
Wengi wanataka nipambane

I miss you savior
Nikukose mwokozi

In the context of what I see
Kwa mazingira ninavyoyaona

I can fight and offend you
Naweza pambana nikukosee

For man to be silent is ridiculous
Kwa mwanadamu kunyamaza ni ujinga

What I am doing is not going to offend you
Ninacholinda nisikukosee

Yet I will look foolish
Japo nitaonekana mpumbavu

Let it all go, let me not offend you
Acha vyote vipite, nisikukosee

Yet it burns me to the core
Japo yananichoma mpaka ndani ya moyo

Let it go, let me not offend you
Acha yapite, nisikukosee

I can fight humans
Naweza pambana na wanadamu

But I was losing you Lord
Kumbe nikawa ninakupoteza Bwana

I can fight a man
Naweza pambana na mwanadamu

But I was missing the Messiah
Kumbe nikawa nakukosa Messiah

I can compete with someone
Naweza shindana na mtu

But I was missing the Messiah
Kumbe nikawa nakukosa Messiah

Let people be stupid
Acha kwa watu niwe mjinga

To you I am lifted up
Kwako niinuliwe

Let people be so stupid
Acha kwa watu niwe mpumbavu sana

To you I am a hero
Kwako niwe shujaa

Let people be like a fool
Acha kwa watu niwe kama mjinga

For you I am wise
Kwako niwe mwenye hekima

But I will not be able to keep quiet
Lakini sitaweza kunyamza

Without teaching me
Bila kunifundisha

For as a human being it hurts me
Maana kama mwanadamu inaniuma

But I beg you to teach me
Lakini mi naomba nifundishe

Meaning as a human being tortures me
Maana kama mwanadamu inanitesa

But I beg you to teach me to be silent
Lakini mi naomba nifundishe kunyamaza

Without being taught by you
Bila kufundishwa nawe

I could have fought
Naweza nikapambana

And in my fight
Na katika kupambana kwangu

I found you wrong
Nikakuta nakukosea

I beg you Father, I beg you
Nakuomba Baba, nakuomba

Help me keep quiet
Nisaidie ninyamaze

I beg you Father, I beg you
Nakuomba Baba, nakuomba

Help me keep quiet
Nisaidie ninyamaze

Even if they see me as a fool
Hata wakiniona ni mjinga

Let me not offend you
Acha vyote nisikukosee

Even though they will see me as a fool
Japo wataniona ni mjinga

But I am careful not to offend you
Kumbe ninalinda nisikukosee


Join our WhatsApp GROUP or TELEGRAM CHANNEL for instant updates

Leave A Reply

Please enter your comment!
Please enter your name here