Home Music Angel Benard – Nikumbushe Wema Wako

Angel Benard – Nikumbushe Wema Wako

0
Angel Benard Nikumbushe Wema Wako Mp3 Download
Angel Benard Nikumbushe Wema Wako Mp3 Download

Check out this lovely brand new gospel music by Angel Benard Nikumbushe Wema Wako.

Tanzanian Christian Gospel music singer, Songwriter and worship leader, Angel Benard has dropped yet another amazing brand new gospel music which she titled “Nikumbushe Wema Wako”. And it’s right available here for download for your free and fast download!.

Listen And Share Your Thoughts Below!

STREAM/DOWNLOAD MP3

[ Music Lyrics ]

Nirahisi kinywa kujawa na lawama tele
Pale mambo yanapoonekana hayaendiii
Ni ajabu sana namna moyo unahangaika (kutafuta majibu)
Ajabu sana moyo unavyoonyesha mashaka yakwamba japokuwa Mungu anaishi ndani yangu kuna muda nahofu, japokua Mungu anaketi kati yetu kuna muda nahofu,
Ahh nakumbuka wana wa Israel katika bahari yashamu japo walikatiza katikati ya bahari kwa ushindi,
Kwa nyimbo nyingi waliimba na kumsifu Bwanaa. Lakini baada ya kuvuka na kuliona jagwa yalibadilika mambo,
Manung’unikoo yalisimama na kusahau muujiza alotenda Bwana Mwanzo aah.
Eee MUNGU Niisaidieee eee eenhee
BRIDGE -Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machoziii, x2
Eeeh Ee MUNGU Nisaidiee
Nisaidieee kukumbuka baba yakwamba umenichora kiganjani mwako kati ya wengi walioko duniani eenh na mimi umenionaa oooh ooo
Nikumbushe baba yakwamba ni wewe umeniponya nilipoumwa yakwamba ni wewe mlipaji wa ada yangu shuleniii. ouoooh ooh
Yakwamba kama ungeniacha hatua moja nisingelifika nilipo ooh eee Babaa umenikung’uta mavumbi, kung’uta mavumbi mimi na kuniheshimisha.
Oooooh oooooh
Nikumbushe wema wako nisije laumu
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu(Nisaidie Yesu)
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozii ×2

Join our WHATSAPP CHANNEL or TELEGRAM CHANNEL for instant updates

Leave A Reply

Please enter your comment!
Please enter your name here