Natasha Lisimo Umeniona Mp3
Contemporary Tanzania gospel music minister and songwriter NATASHA LISIMO released her long anticipated single melody titled “UMENIONA”.
However, the title which is a Swahili language can be translated as “You saw me”.
Download the song below and share your thoughts. For more Tanzania gospel songs please visit our home page.
Join Our Telegram Group Or
WhatsApp Group,
You Can Even Like Our
Facebook Page For Instant Updates.
Natasha Lisimo Umeniona Lyrics
Natasha Lisimo Umeniona Lyrics:
Mungu umenihurumia
Baba umenihurumia
Yesu umenihurumia
Baba umenihurumia
Nakumbuka maumivu
Nakumbuka na machozi
Ulionifuta wewe
Nilivyosetwa na watesi wangu
Asante kwa ujasiri
Nashukuru kwa amani Yesu
Uliyoweka moyoni
Nilivyotingwa na ya walimwegu
Aibu, aibu, aibu
Fedheha fedheha, fedheha
Umeniondolea aibu
Sijui nikulipeje? Ooh Bwana
Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi
Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi
Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi
Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi
Wala sikuwa dhamani
Kama nilivyoonekana
Na nilishachoka
Kuendelea tena mbele
Siri yangu yote
Ukaijua wewe Bwana
Nawaza kama angelijua mwengine
Angeshatangaza je?
Nashukuru kwa kuniondolea aibu
Sijui nikulipeje?
Ooh kama je, isingekuwa huruma yako
Angenipendaga nani?
Yaani we, isingekuwa rehema zako
Ningekumbukwa na nani?
Ah tumaini langu ni wewe
Toka siku zile
Msaada wangu ni wewe
Toka siku zile
Ooh kimbilio langu ni wewe
Toka siku zile
Msaada wangu wa mwisho ni wewe Yesu
Toka siku zile
Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi
Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi
Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi
Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi
Umeniona, umeniona na mimi
Na mimi iyee iyee
Umenilipia deni la aibu
Umeniponya yote tabibu
Nini tena hujafanya mwalimu
Oooh asante, ooh
Umenilipia deni la aibu
Umeniponya yote tabibu
Nini tena hujafanya mwalimu
Oooh asante, ooh
Nobody Can Accomplish God’s Work Alone!
Paul Planted!
Apollos Watered!
God Gave The Increase!
Let God Use You By Sharing This Post Below: